Jiunge nasi

Huduma za Mtandao

Hizi ni baadhi za huduma ambazo mtandao huu unapeana.

Masomo

Unaweza kujifunza mengi kwenye somo la Kiswahili katika mtandao huu, kama vile; Lugha, Fasihi, Insha, Mashairi, Isimu Jamii, Uchambuzi wa Riwaya, na kadhalika.

Mitihani mtandaoni

Mtandao huu unakuwezesha kufanya mitihani kwa kutumia tu simu ama tarakilishi. Mtihani utakao fanya ushahishwa na walimu na unapata majibu

Kongamano

Mashindano ya sehemu mbali mbali kwa mfano; uandishi wa Insha, utunzi wa mashairi, na kadhalika, hufanyika mtandaoni bila kuhitaji wahusika kuonana.

Lugha

Lugha ni sehemu kubwa sana kwenye somo la Kiswahili, mtandao huu haufundishi lugha asilimia mia ila umeshughulikia baadhi ya mada muhimu.

Insha

Katika sehemu hii, unaweza kusoma aina za Insha, kuejifunza namna ya kuandika Insha bora na hata kufanya mitihani za insha mtandaoni na kupata majibu.

Fasihi

Sehemu hii inashughulikia fasihi kwa kiasi kikubwa, unaweza kusoma nini maana ya fasihi, aina za fasihi na mambo mengine mengi ambayo yanahusiana na fasihi.

Ushairi

Utapata kuelewa ni maana ya ushairi, umuhimu wa mashairi katika jamii, jinsi ya kutunga mashairi, aina za maishiri, na hata kupata sampuli za mashairi.

Uchambuzi wa Riwaya

Kitengo hiki cha mtandao huu ni cha kusaidia mwanafunzi kupata uelevu wa mambo ya kuchambua Riwaya, kama vile, maudhui na mengine mengi.

Kujifunza Kiswahili

Unaweza pia kujifunza Kiswahili kama Lugha ya kigeni. Sehemu hii inawelenga wale ambao ni wageni Kenya, Tanzania, Rwanda ama sehemu yoyote ambayo Kiswahili huzungumzwa.

Shuhuda

Hapa baadhi ya shuhuda kutoka kwa wanafunzi, wazazi na walimu.

Mtandao wa Kiswahili.co.ke umenisaidia sana kuelewa mashairi.

Mwanafunzi

Shule ya Upili ya Majimema

Wavuti wa Kiswahili.co.ke umenisaidia sana kama mwalimu kwa kazi zangu za utafiti.

Bwana D.O

Mwalimu; Shule ya Upili ya Kioo.

<

Sikuamini naweza fanya mitihani mtandaoni na kupata majibu kwa upesi. Asante kwa Kiswahili.co.ke

E.A

Mwanafunzi; Shule ya Msingi ya Mlimamwema, Nakuru.

Mtandao huu umerahisisha somo la Kiswahili. Nimenufaika sana.

Sarah Fatuma

Shule ya Msingi ya Ubora, Mombasa